Afisa Mmoja Wa Kijeshi Ahukumiwa Miaka Mitano Gerezani

  • 2 years ago
Afisa Mmoja Wa Kijeshi Amehukumiwa Miaka Mitano Na Nusu Gerezani Baada Ya Kupatikana Na Kosa La Kuhusika Na Ulaghai Wakati Wa Usajali. Hukumu Hiyo Ilitolewa Na Mahakama Ya Kijeshi Iliyoko Katika Kambi Ya Kijeshi Ya Lang'ata

Recommended