Wakaazi Waandamana Dhidi Ya Ufisadi Katika Kaunti Ya Siaya

  • 3 years ago
Mtu Mmoja Amejeruhiwa Baada Ya Tandabelua Kuzuka Katika Ofisi Ya Kaunti Ya Siaya Iliyotokana Na Maandamano Yaliyoanzishwa Na Wakaazi Wa Kaunti Hiyo. Wakaazi Hao Wanadai Kuwa Baadhi Ya Maafisa Wa Kaunti Hiyo Wanajihusisha Na Ufisadi.

Recommended