Swahili Hymn Video of God’s Words "Umuhimu wa Kuonekana kwa Mungu"

  • 5 years ago
Swahili Hymn Video of God’s Words "Umuhimu wa Kuonekana kwa Mungu" | Praise the Return of Lord Jesus (Tai Chi Dance)
Kuonekana kwa Mungu kunataja kufika Kwake binafsi duniani ili kufanya kazi Yake.
Na utambulisho Wake mwenyewe na tabia, na kwa njia Yake mwenyewe,
Yeye anashuka kati ya mwanadamu ili kuanza enzi na kumaliza enzi.
Kuonekana kama huku sio ishara ama picha.
Si aina ya sherehe.
Si muujiza. Si ono kuu.
Pia sio aina ya mchakato wa kidini hata zaidi.
Ni ukweli halisi ambao unaweza kuguswa na kuonwa,
ukweli ambao unaweza kuguswa na kuonwa.
Konekana kama huku sio kwa ajili ya kufuata mchakato,
ama kwa ajili ya shughuli ya muda mfupi;
lakini ni, kwa ajili ya hatua ya kazi katika mpango wa usimamizi wa Mungu.

Kuonekana kwa Mungu kila mara ni kwa maana,
na kuna uhusiano na mpango Wake wa usimamizi,
kuna uhusiano na mpango Wake wa usimamizi.
Konekana huku si sawa kabisa
na kuonekana kwa Mungu akiongoza mwanadamu,
kumwongoza mwanadamu au kumtia nuru mwanadamu, kumwongoza mwanadamu au kumtia nuru mwanadamu.
Mungu anafanya hatua ya kazi kuu kila wakati Anapojifichua Mwenyewe.
Kazi hii ni tofauti na ile ya enzi nyingine yoyote,
isiyoweza kufikiriwa na mwanadamu, haijapitiwa na mwanadamu kamwe,
haijapitiwa na mwanadamu kamwe.
Ni kazi inayoanzisha enzi mpya na kumaliza enzi nzee,
kazi mpya na bora ya wokovu wa binadamu,
na kazi ya kumleta binadamu katika enzi mpya.
Ni umuhimu wa kuonekana kwa Mungu.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Maudhui ya video hii yametafsiriwa yote na wafasiri wataalam. Hata hivyo, kutokana na tofauti za lugha n.k., makosa kadhaa yaliyofanywa hayawezi kuepukika. Ukigundua makosa yoyote kama hayo, tafadhali rejea kwa toleo la kwanza la Kichina. Tafadhali jihisi huru kuwasiliana nasi.

Recommended