Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" (Video Rasmi ya Muziki)

  • 7 years ago
Nitampenda Mungu Milele

Ee Mungu! Maneno Yako yameniongoza kurudi Kwako.
Nakubali mafunzo katika ufalme Wako mchana na usiku.
Majaribio mengi na maumivu, mateso mengi sana.
Mara nyingi nilimwaga machozi na kuhisi huzuni,
na mara nyingi nimeanguka katika mtego wa Shetani.
Lakini Hujawahi kuniacha.
Uliniongoza kupitia matatizo mengi, Umeniweka kupitia hatari nyingi.
Sasa najua ya kuwa Wewe Umenipenda.

Ee Mungu! Waniongoza kwa maisha mapya.
Nikifurahia Maneno yako, Nimeelewa mapenzi yako.
Maneno yako hunihukumu na kuniadibu, na kutakasa upotovu wangu.
Kupitia majaribio nimejifunza kukutii Wewe.
Kukua katika neno la Mungu, nimekuja kumjua Mungu.
Niko tayari kufanya wajibu wangu kwa shahidi Wako na utukufu.
Nitakupenda Wewe kwa muda wote.
Kama kubarikiwa au kulaaniwa, mimi nitafurahi kuwa katika huruma Yako.
Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri.
Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu.
Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu.
Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Barua Pepe: contact.sw@kingdomsalvation.org
Wasiliana Nasi: +254-700-427-192

Recommended