Wimbo wa Kuabudu | "Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu"

  • 5 years ago
Wimbo wa Kuabudu | "Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu"

Kupitia neno la Mungu la utendaji,
unyonge wa mwanadamu na uasi yanahukumiwa na kufichuliwa.
Kisha wanadamu wanapokea wanachohitaji
Wanaona kuwa Mungu amekuja katika ulimwengu huu wa binadamu.
Kazi ya Mungu wa utendaji ina nia ya kumwokoa kila mmoja
kutoka kwa ushawishi wa Shetani,
kuwaokoa kutoka kwa uchafu na kwa tabia yao iliyopotoshwa na Shetani.
Kupatwa na Mungu kunamaanisha kufuata mfano Wake kama mfano kamili wa mwanadamu.
Mfuate Mungu wa matendo, ishi ubinadamu wa kawaida.
fuata maneno Yake na mahitaji, fuata kile Anachosema kabisa.
na ufanikishe kile Anachotaka, kisha utapatwa na Mungu.

Mungu alichukua mwili, Akiruhusu watu kuona matendo Yake.
Roho Wake alichukua mwili, ili mwanadamu amguse Mungu,
ili watu wamtazame Mungu na kuja kumjua.
Kwa njia hii ya matendo pekee ndiyo Mungu huwafanya watu kuwa wakamilifu.
Wale wanaoweza kuishi maisha yao kulingana na Yeye
na kufuata moyo Wake, ni wale wanaopatwa na Mungu.
Kupatwa na Mungu kunamaanisha kufuata mfano Wake kama mfano kamili wa mwanadamu.
Mfuate Mungu wa matendo, ishi ubinadamu wa kawaida.
fuata maneno Yake na mahitaji, fuata kile Anachosema kabisa.
na ufanikishe kile Anachotaka, kisha utapatwa na Mungu.

Kama Mungu angenena tu mbinguni na asije chini duniani,
watu wangewezaje kumjua Yeye?
Na maneno matupu tu kuonyesha kazi Yake, na sio maneno Yake kama ukweli.
Mungu anakuja kama mfano,
ili mwanadamu amwone na kumgusa, amwone na kupatwa na Yeye.
Kupatwa na Mungu kunamaanisha kufuata mfano Wake kama mfano kamili wa mwanadamu.
Mfuate Mungu wa matendo, ishi ubinadamu wa kawaida.
fuata maneno Yake na mahitaji, fuata kile Anachosema kabisa.
na ufanikishe kile Anachotaka, kisha utapatwa na Mungu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Injili ya Kushuka kwa Ufalme: https://sw.kingdomsalvation.org/
Kanisa la Mwenyezi Mungu: https://sw.godfootsteps.org/

Recommended