Mdahalo Wa Maandamo
- last year
Hali Ya Vuta Nkuvute Inazidi Kushuhudiwa Kuhusu Swala La Maandamo Linalopangwa Na Muungano Wa Azimio La Umoja , Hii Leo Wabunge Wa Azimio Wakisema Wanaunga Mkono Kwa Asilimia Mia Moja Maandano Hayo Huku Mrengo Wa Kenya Kwanza Ukiendelea Kumsuta Odinga Wakisema Ubinafsi Wake Unaishika Taifa La Kenya Mateka.