Suluhu Ya Migogoro Nakuru Mipaka Itatua Kesi Za Migogoro Ya Ardhi Ambazo Zimeongezeka

  • 2 years ago
Serikali Ya Kaunti Ya Nakuru Itaanza Kuweka Mipaka, Kati Ya Kaunti Hio Na Narok Katika Jitihada Za Kutafuta Suluhu Ya Migogoro Ya Ardhi Kati Ya Kaunti Hizo Mbili. Ukosefu Wa Mipaka Umesemekana Kusababisha Vifo Vya Watu, Katika Eneo Za Likia Na Maella, Huku Jamii Ikipigania Rasilimali Na Malisho.

Recommended