Rais Magufuli Ameacha Mjane Na Watoto Wawili

  • 3 years ago

Rais Wa Tanzania Mwendazake John Pombe Magufuli Atakumbukwa Kwa Kuwa Miongoni Mwa Marais Wachapa Kazi Ambao Wamewahi Kuchaguliwa Katika Ukanda Wa Afrika. Kifo Chake Kimemaliza Wiki Kadhaa Za Ati Ati Kuhusu Aliko Magufuli Baada Ya Kukosa Kuonekana Katika Umma Kwa Muda.

Recommended