Mrembo wa Rwanda afunguka kuhusu Diamond / Wema Sepetu
- 6 years ago
Mwanamitindo na Video Vixen kutoka Rwanda, Shaddy Boo amezungumzia mahusiano yake na msanii wa Bongo Fleva, Diamond Pltnumz baada ya watu wengi kudai wawili hao wanauhusiano wa kimapenzi.